WAZOA TAKA DANDORA WASHINDA KESI
Mahakama ya Mazingira na Ardhi ya Milimani imeamuru kulipwa fidia ya shilingi milioni 25.8 kwa wazoa taka 1,032 wanaofanya kazi katika dampo la Dandora, baada ya kubaini kuwa haki zao za kikatiba zilikiukwa kutokana na kuathiriwa kwa muda mrefu na uchafuzi wa hewa. Katika uamuzi wake, Jaji Anne Omollo ameamua kwa niaba ya wazoa taka hao dhidi ya Serikali […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































