SERIKALI YAKEMEA VURUGU ZA KISIASA
Serikali imekemea vikali vurugu za kisiasa na machafuko yanayoshuhudiwa ikisema yanahatarisha usalama wa wananchi na utulivu wa nchi Msemaji wa serikali Isaac Mwaura amesema makundi ya kihalifu yamekuwa yakijipenyeza katika maandamano huku akisisitiza kuwa maandamano ya amani yanalindwa kisheria Serikali imeonya dhidi ya uhamasishaji wa makundi yenye silaha na kusisitiza kuwa wafadhili wa vurugu watachukuliwa […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































