USIMAMIZI MBAYA WA MECHI WAKOSOLEWA KPL
Washikadau katika sekta ya kabumbu nchini wamelalamikia madai ya uendeshaji mbaya wa mechi za ligi kuu ya soka nchini, KPL, wakilitaka shirikisho la soka FKF kuwachukulia hatua marefa wanaokiuka sheria za kandanda. Miongoni mwao ni mwenyekiti wa klabu ya Gor Mahia Ambrose Rachier, akisema mwenendo huo unaiharibia jina soka ya Kenya. Rachier amehusisha usimamizi huo […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































