ATWOLI AWASUTA WANAOIBUA MADAI KUHUSU KIFO CHA RAILA
Katibu mkuu wa COTU Francis Atwoli amewasuta baadhi ya viongozi wanaoibua madai kuhusiana na kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga. Atwoli amesema kuwa Raila hakuwa mtu wa kawaida na alikuwa na heshima zake kisiasa na hivyo kuibua madai yasiyo na msingi kuhusiana na kifo chake ni kutofanyia haki familia yake. Aidha, amewaomba wale wanaosema […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































