MUYOTI ASIFU USHINDI WA KENYA POLICE DHIDI YA AFC LEOPARDS

Kocha mkuu wa Kenya Police Nicholas Muyoti amesema ushindi wao wa mabao matatu kwa bila dhidi ya AFC Leopards umetokana na mpango madhubuti wa kiufundi uliotekelezwa vizuri na wachezaji wake Muyoti amesema kuelewa mbinu za mpinzani pamoja na nidhamu ya kikosi chake uwanjani kulichangia sana kupata alama zote tatu huku akiwataka washambuliaji wake kuendelea kuwa […]

BHAVESH GOHIL ACHAGULIWA KUONGOZA KRIKETI KENYA

Mfanyabiashara Bhavesh Gohil amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Kriketui katika uchaguzi uliofanyika Ruaraka Sports Club baada ya mfululizo wa migogoro ya kisheria kuchelewesha zoezi hilo Akiwa pamoja na naibu mwenyekiti mpya Perlyne Omamo Gohil ameahidi kuanza awamu mpya ya mageuzi katika uongozi wa shirikisho hilo la kriketi nchini Amesema kipaumbele chake cha kwanza kitakuwa ni kuimarisha uwazi […]

GABBY THOMAS AWASILI KENYA KABLA YA KIP KEINO CLASSIC

Nyota wa riadha kutoka Marekani Gabby Thomas amewasili nchini Kenya tayari kwa mashindano ya Kip Keino Classic ambapo sasa atashiriki mbio za mita mia moja na mita mia mbili Mkurugenzi wa mashindano hayo Barnaba Korir amethibitisha kuwa Thomas tayari ameanza mazoezi yake nchini kabla ya mashindano yanayotarajiwa kufanyika Ijumaa Aprili ishirini na nne katika Uwanja […]

WAKAZI SOUTH C WAANDAMANA KUHUSU USALAMA WA MAJENGO

Wakazi wa South C wamefanya maandamano ya amani wakilalamikia kuporomoka kwa jengo la makazi mapema mwaka huu katika barabara ya Muhoho huku wakitaka hatua madhubuti zichukuliwe Maandamano hayo yaliyoishia katika bustani ya Uhuru yaliwaleta pamoja wakazi viongozi wa eneo na wanaharakati waliodai uwajibikaji pamoja na utekelezaji mkali wa sheria za ujenzi Wakazi wameonya kuwa jengo […]

KITUYI AANGAZIA NGUVU YA KUNDI LA LINDA MWANANCHI

Msemaji wa muungano wa upinzani Mukhisa Kituyi amesema ushawishi unaoongezeka wa kundi la Linda Mwananchi ndani ya chama cha ODM hauwezi kupuuzwa huku juhudi zikiendelea za kuunda muungano imara kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka elfu mbili ishirini na saba Kituyi amesisitiza umuhimu wa kuzingatia kundi hilo linaloongozwa na Edwin Sifuna akibainisha kuwa umaarufu wake unaoongezeka […]

OBURU AHUDHURIA MKUTANO WA VIJANA WA ODM

Mkutano wa vijana wa chama cha ODM unaendelea hapa jijini Nairobi huku ukihudhuriwa na viongozi wa chama wakiongozwa na Kiongozi wa chama Oburu Oginga. Viongozi wa vijana wamesema kuwa watetea maslahi ya chama huku wakitaka heshima kwa kiongozi wa chama hicho. Aidha wamesema kuwa wanamuunga mkono Oburu na watafuata mwelekeo wake ifikapo mwaka 2027. Imetayarishwa […]

GHARAMA YA MAISHA YAZIDI KUPANDA JIJINI NAIROBI

Wakazi wa jiji la Nairobi wameendelea kuhisi mzigo wa gharama ya maisha kufuatia kupanda kwa bei ya gesi ya kupikia katika maeneo mbalimbali ya jiji. Baadhi ya wauzaji wanasema mitungi ya kilo 13 imeongezeka bei, hali inayowalazimu wananchi kupanga upya matumizi yao ya kila siku. Familia nyingi sasa zinalazimika kupunguza matumizi ya gesi au kutafuta […]

KENYA, IFC ZASHIRIKIANA KUENDESHA UWEKEZAJI WA SEKTA YA KIBINAFSI

Serikali kuu imeimarisha ushirikiano wake na Shirika la Fedha la Kimataifa (IFC) ili kuharakisha ukuaji unaoongozwa na sekta ya kibinafsi, ikilenga Ubia kati ya Sekta ya Umma na Kibinafsi (PPPs), ufadhili wa biashara ndogo na za kati (SME) na uwekezaji katika sekta muhimu. Wakati wa Mikutano ya Spring ya IMF-Benki ya Dunia ya 2026 huko Washington, […]

ARSENAL WAKANYAGA GANDA LA NDIZI ETIHAD, CHELSEA WATAPATAPA

Manchester City iliikaribia ubingwa wa taji la ligi kuu ya soka nchini Uingereza kutokana na ushindi wa mabao 2-1 nyumbani Etihad dhidi ya Arsenal katika pambano lililotajwa kama la kuamua ni wapi taji hilo litaelekea msimu huu. Mshambulizi Erling Haaland aliihakikishia City ushindi katika dakika ya 65, na kuiacha City pointi 3 pekee nyuma ya […]

JUNIOR STARLETS WAWADHALILISHA WAGENI, KUPAMBANA NA UGANDA

Timu ya taifa ya chipukizi wasiozidi umri wa miaka 17, Junior Starlets, itamenyana na wenzao wa Uganda katika raundi ya pili ya mashindano ya kuwania tiketi ya kushiriki mashindano ya kombe la dunia kwa chipukizi, FIFA World Cup U17 Women. Hii ni baada yao kukosa adabu ya mwenyeji na kuidhalilisha Namibia kwa kichapo cha mabao […]