UHABA WA MAFUTA WAVURUGA USAFIRI
Shughuli za uchukuzi zimeendelea kutatizika katika maeneo mbali mbali kutokana na uhaba wa mafuta ambao umesababisha kufungwa kwa vituo kadhaa vya kuuza mafuta. Kupitia taarifa, muungano wa wasafirishaji nchini umeonya kuwa huenda uhaba huo ukasambaratisha uchukuzi, huku wakenya wakiishinikiza serikali kuweka wazi hali halisi ya kiwango cha mafuta nchini. Serikali imeshikilia kuwa kuna akiba ya […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































