WAKENYA 16 WARIPOTIWA KUPOTEA URUSI
Waziri Mkuu wa Mawaziri na Waziri wa Mambo ya Nje, Musalia Mudavadi, amesema angalau Wakenya 16 wameripotiwa kupotea nchini Urusi. Mudavadi amesema idadi hiyo imeongezeka kutoka watu 10 hadi 16 ndani ya saa 24 zilizopita, huku hali halisi ya walipo bado haijabainika. Ameeleza kuwa suala hilo limezua wasiwasi mkubwa kitaifa, hasa kutokana na madai ya […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































