HOSPITALI YA NAIROBI YAJITETEA KUHUSU HALI YA KIFEDHA
Hospitali ya Nairobi imetetea hali yake ya kifedha na uendeshaji wake ikisema huduma zinaendelea bila kukatizwa, huku ikilaumu mgogoro wa muda mrefu wa uongozi kwa taharuki iliyoshuhudiwa mahakamani na hadharani. Katika mkutano na wanahabari, mwenyekiti wa bodi Barcley Onyambu pamoja na Afisa Mkuu Mtendaji Felix Osano wamesema hospitali hiyo iko imara na inaendelea kutoa huduma kikamilifu […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































