UCL: TUDOR ASEMA SPURS WANA UWEZO WA REMONTADA

Kocha wa Tottenham Hotspurs Igor Tudor amesema timu yak eina uwezo wa kubadilisha matokeo wakati wakivaana na Atletico Madrid usiku wa leo kwenye michuano ya klabu bingwa barani ulaya. Spurs walibamizwa mabao 5-2 na Atletico kwenye mechi ya mkondo wa kwanza. Katika Michuano mingine, Barcelona watakua uwanjani camp nou kuvaana na Newcastle United mwendo wa […]

SHABANA FC YAMTIMUA KOCHA OKIDI

Klabu ya Shabana imetangaza kuachana na kocha wake Peter Okidi katika hatua ya kushangaza, licha ya mafanikio aliyokuwa ameanza kuyapata akiwa na timu hiyo. Okidi, ambaye alijiunga na klabu hiyo mwaka 2024, anaondoka baada ya kuhudumu kwa takriban miezi 18 tangu akabidhiwe jukumu la kuinusuru timu hiyo iliyokuwa ikipambana kuepuka kushuka daraja kutokana na matokeo […]

PATEL ALENGA KUREJESHA UBINGWA WA AFRIKA KWENYE MBIO ZA MAGARI

Bingwa mara mbili wa mashindano ya magari ya mbio barani Afrika Karan Patel ameanza msimu wa mwaka 2026 kwa azma ya kurejesha taji la African Rally Championship. Dereva huyo wa Kenya amesema ana dhamira ya kurejea kileleni baada ya kukosa ubingwa huo kwa karibu katika miaka ya hivi karibuni, akilenga kuthibitisha ubora wake katika mashindano […]

KENYA KUANDAA GOFU YA VIJANA YA AFRIKA 2026

Nchi ya Kenya imepewa haki ya kuandaa mashindano ya vijana ya Afrika ya mwaka 2026, tukio kubwa linalotarajiwa kuonyesha vipaji chipukizi kutoka kote barani katika mchezo wa gofu. Mashindano hayo yatafanyika kuanzia Machi 23 hadi 26 katika eneo la Windsor Golf Hotel na Country Club, katika jiji la Nairobi, ikiwa ni mara ya kwanza kwa taifa hilo kuandaa mashindano hayo […]

OBADO NA WENZAKE KUSUBIRI HUKUMU MEI 29

Aliyekuwa Gavana wa Kaunti ya Migori Okoth Obado pamoja na washtakiwa wenzake wawili watajua hatima yao katika kesi ya mauaji ya Sharon Otieno tarehe 29 Mei 2026. Katika kesi hiyo, Obado anakabiliwa na mashtaka pamoja na aliyekuwa msaidizi wake Michael Oyamo na karani wa kaunti Caspal Obiero. Kesi hiyo imetajwa hii leo mbele ya Jaji Cecilia Githua […]

OYUU APUUZA AZMA YA SOSSION KNUT

Katibu Mkuu wa KNUT Collins Oyuu amepuuzilia mbali azma ya mtangulizi wake Wilson Sossion ya kugombea katika uchaguzi ujao wa kitaifa wa chama hicho. Oyuu amesema kuwa Sossion kwa sasa si mwanachama wa chama hicho, hivyo hana sifa za kushiriki katika uchaguzi wa ndani wa KNUT. Kauli hiyo inaibuka huku kukiwa na mjadala kuhusu uongozi wa chama hicho, […]

WINNIE ODINGA ASEMA ODM NI NYUMBANI KWAKE

Mwakilishi katika Bunge la Afrika Mashariki Winnie Odinga ambaye pia ni mwana wa hayati Raila Odinga amesema chama cha ODM ni nyumbani kwake baada ya kuidhinishwa na wawakilishi wa chama hicho katika Nairobi kuwa Naibu Kinara wa chama. Odinga amesema kuwa Kaunti ya Nairobi ni muhimu katika uongozi wa chama hicho, akisisitiza kuwa lazima iwe na uwakilishi […]

RUTO ASEMA ATAZINGATIA MAENDELEO SI SIASA

Rais William Ruto amepuuza ukosoaji unaoendelea kutoka kwa viongozi wa upinzani akisema atazingatia kuwatumikia Wakenya na kutumia “asilimia moja” tu ya muda wake katika mijadala ya kisiasa. Akizungumza wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la Uwanja wa Busia katika Kaunti ya Busia County, Rais ameonyesha msimamo thabiti kufuatia siku ya malumbano ya hadhara kati […]

CITY YAHARIBIWA, KISA CHA BODØ KIKITAMATIKA UEFA

Kadi nyekundu kwa nahonda wa Manchester City Bernardo Silva katika dakika ya 20 ilitoa mwelekeo wa mechi ya mkondo wa pili ya raundi ya 16 ya dimba la klabu bingwa bara Ulaya, mabao mawili ya Vinicius Jr yakiihakikishia Real Madrid ushindi wa mabao 2-1 jana usiku. Real walifuzu robo fainali kwa jumla ya mabao 5-1 […]

AFCON 2025: SENEGAL WAVULIWA TAJI, MOROCCO WAVIKWA

Timu ya taifa ya Morocco imetangazwa kuwa bingwa wa dimba la taifa bingwa barani Afrika, AFCON 2025, baada ya shirikisho la soka barani humu, CAF, kubatilisha matokeo ya mechi ya fainali ambapo Senegal walishinda kwa bao 1-0. Kabla ya ushindi huo, wachezaji wa Senegal waliondoka uwanjani kwa dakika 17 baada ya Morocco kupewa mkwaju wa […]