EACC YAWAHIMIZA WAKENYA KUKUMBATIA MFUMO WA FAINI ZA PAPO HAPO
Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) imewataka Wakenya kuunga mkono mfumo wa Mamlaka ya Kitaifa ya Usafiri na Usalama Barabarani (NTSA) wa kutoza faini za papo hapo kwa madereva wanaokiuka sheria za trafiki. Hata hivyo, wito huo unatolewa licha ya Mahakama kusitisha kwa muda utekelezaji wa mfumo huo kufuatia changamoto za kisheria zilizoibuliwa […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































