MANYURU AITAKA SERIKALI KUWASIKIZA VIJANA
Kiongozi wa kanisa la Jesus Teaching Ministry JTM, Apostle Peter Manyuru, ameitaka serikali kutoa kipaumbele kwa malalamishi ya vijana wa kizazi cha Gen Z mwaka huu wa 2026 kama njia mojawapo ya kutatua changamoto za kiuongozi nchini. Kwenye ujumbe wake wa kuukaribisha mwaka mpya, Apostle Manyuru ametaja ukosefu wa ajira, ufisadi na ukatili wa polisi […]
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































