MAHAKAMA YAIDHINISHA FAINI ZA PAPO HAPO
Mfumo mpya wa mamlaka ya usalama barabarani, NTSA, kuwatoza faini za papo hapo madereva wanaovunja sheria za trafiki utaendelea kutekelezwa, baada ya mahakama kuu kutupilia mbali kesi iliyokuwa ikiupinga. Kwa mujibu wa walalamishi wakiongozwa na dereva Kennedy Maingi, mfumo huo unaipa NTSA mamlaka ya kuwanyanyasa madereva barabarani, hoja ambayo NTSA imepinga ikisema mfumo huo unalenga […]
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































