UBORA WA CBE WATILIWA SHAKA, WANAFUNZI WAASI MASOMO
Imebainika kuwa zaidi ya wanafunzi 151,000 waliofanya mtihani wa kwanza chini ya mtaala wa umilisi CBE waliachia njiani masomo yao ya sekondari msingi, idadi ambayo imeibua hofu kuhusiana na uwezo wa utekelezaji wa mtaala huo.
Kulingana na takwimu za baraza la mitihani ya kitaifa, KNEC, wengi wa wanafunzi waliokosa kukamilisha masomo yao ni wavulana, wasichana wakiwa takribani 50,000.
Hata hivyo, wizara ya elimu imetilia shaka ukweli wa takwimu hizo.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 




































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































