WAZAZI KUENDELEA KULIPA KARO YA ZIADA, KESSHA YATANGAZA
Huenda wazazi wakaendelea kulipa karo ya ziada baada ya muungano wa walimu wakuu wa shule za upili KESSHA kutangaza kuwa hautazingatia agizo la mahakama lililoharamisha malipo hayo, kwa misingi kwamba shughuli zitalemazwa shuleni kutokana na mgao finyu.
Akizungumza jijini Mombasa kwneye matayarisho ya kongamano la kila mwaka la muungano huo, mwenyekiti wake Willy Kuria amesema mfumo wa utoaji wa mgao wa shule ni wa zamani na hivyo hauwezi kumudu mahitaji ya sasa.
Imetayrishwa na Antony Nyongesa
English 




































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































