#Local News

HASARA, MAAFA YA MAFURIKO

Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko nchini imethibitishwa kufikia 66 huku maelfu ya wengine wakiendelea kukadiria hasara, idara ya polisi ikisema zaidi ya watu 2,000 wamehamishwa na mafuriko kwa lazima.

Jijini Nairobi, usimamizi wa mradi wa uimarishaji wa Nairobi River umeorodhesha sehemu 37 kama zilizo kwenye hatari ya kufurika, wakazi wakitakiwa kuchukua tahadhari wakati huu wa masika.

Baadhi ya maeneo hayo ni South B na South C, Kibra, Kilimani, Kariobangi, Kiambiu, Dandora, Industrial Area na katikati mwa jiji.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *