8-4-4 GRADE 10? WALIMU WATISHIA
Baadhi ya walimu wakuu katika shule za upili nchini wametishia kuanza kuwafunza wanafunzi wa gredi ya 10 kutumia vitabu vya mtaala wa zamani 8-4-4 kutokana na ukosefu wa vitabu vya gredi hiyo iliyo chini ya mtaala wa umilisi CBE. Hii ni kutokana na hatua ya serikali kukosa kusambaza vitabu vya gredi hiyo hadi sasa, na […]
English 


















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































