MAHAKAMA YAKATAA KUSITISHA UTEUZI WA WASHAURI WA RAIS

Mahakama Kuu imetupilia mbali maombi yaliyokuwa yakitaka kusimamisha uteuzi wa washauri wa rais, ikisema suala hilo tayari liliamuliwa awali. Jaji Bahati Mwamuye amesema wahusika waliorejea mahakamani waliwasilisha hoja zilezile na kuomba afueni sawa na zilizokuwa zimejadiliwa na kuamuliwa. Jaji huyo amebainisha kuwa hoja zilizotolewa wakati wa kusikilizwa kwa maombi hayo zilikuwa marudio tu, akisisitiza kuwa […]

MBADI APUUZA SIASA, AELEKEZA MACHO MAENDELEO

Waziri wa Fedha John Mbadi amepuuzilia mbali mjadala kuhusu mustakabali wake wa kisiasa huku taifa likielekea uchaguzi mkuu wa mwaka ujao, akisema hilo si jambo linalomsumbua kwa sasa. Mbadi amsema kipaumbele chake ni kujenga Kenya yenye maendeleo na kuhakikisha sera za kiuchumi zinawanufaisha wananchi, badala ya kujihusisha na siasa za kujilinda kazini baada ya uchaguzi. […]

MGOMO WA WAFANYIKAZI WA SUKARI WASITISHWA

Mgomo wa nchi nzima wa wafanyikazi wa viwanda vya sukari umesitishwa kufuatia mazungumzo kati ya Serikali na Muungano wa Vyama vya Kupanda Sukari na Wafanyakazi Washirika nchini (KUSPAW). Ukiongozwa na waziri wa Kilimo Mutahi Kagwe, mkutano uliofanyika katika jumba la Kilimo umeidhinisha kutolewa kwa shilingi bilioni 1 katika muda wa wiki mbili zijazo ili kupunguza matatizo ya mara moja […]

CHELSEA, ARSENAL KUTOA KIJASHO LEAGUE CUP

Kocha mkuu wa klabu ya Chelsea Liam Rosenior amekiri kuwa kujumuishwa kikosini kwa Estevao Willian dhidi ya Arsenal leo usiku kwenye mkondo wa mwisho wa semi fainali na taji la Carabao bado ni wa kutiliwa shaka. Raia huyo wa Brazil alikosa mechi dhidi ya West ham wikendi alipokuwa amerejea nyumbani kwao kwa likizo ya kibinafsi. […]

POLICE FC WATELEZA ZAIDI

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka nchini, KPL, Police FC wamejipata alama 11 nyuma ya viongozi wa ligi hiyo baada ya kushikwa katika sare ya bao 1-1 nyumbani dhidi ya Bidco United wanaokabiliwa na hatari ya kushushwa daraja. Mabao yote mawili yalifungwa katika dakika 10 za majeruhi, kwanza, Victor Kunyili akitishia kuwakaanga maafande kwa […]

UBADHIRIFU WA FEDHA BUNGOMA

Tume ya maadili na kukabili ufisadi EACC inatarajiwa kuanzisha uchunguzi katika Sakata ya ufujaji wa shilingi milioni 3.6 katika kaunti ya Bungoma, zinazoripotiwa kuwasha taa ya mti wa Krisimasi mnamo mwaka wa 2019. Haya yamebainika gavana wa Bungoma Ken Lusaka alipofika mbele ya kamati ya uhasibu katika bunge la seneti, huku akikabiliwa na maswali kuhusu […]

WAFANYAKAZI KUPATA AFUENI YA PAYE

Huenda wakenya wanaopata mshahara wa chini ya shilingi 30,000 kwa mwezi wakapata afueni kutokana na mpango wa serikali kuwaondolea mzigo wa ushuru wa mapato maarufu kama Pay As You Earn, PAYE. Akizungumza katika mkutano wa kukusanya maoni ya wakenya, Waziri wa fedha John Mbadi amesema mpango huo pia utawalenga wanaopata chini ya shilingi 50,000 ambao […]

MGOMO WA MAAFISA WA KLINIKI WATAMATIKA

Hatimaye maafisa wa kliniki wametia saini mkataba wa Pamoja na serikali za kaunti, katika juhudi za kutamatisha vuta nikuvute ya muda mrefu ambayo imekuwa ikitatiza utoaji huduma za matibabu kwa wakenya. Kwenye mkataba huo uliotiwa saini kati ya muungano wa maafisa hao KUCO na serikali zote za kaunti 47, maafisa hao watapata nyongeza ya mshahara […]

KUPPET YADAI WALIMU WAMETENGWA NA SHA

Muungano wa kutetea maslahi ya walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri KUPPET umeibua hofu kuhusiana na jinsi bima ya afya ya jamii SHA inatekelezwa kwa wanachama wake, ukisema baadhi ya walimu wamenyimwa matibabu chini ya bima hiyo baada ya kuhusika kwenye ajali ya barabara wiki jana. Katibu mkuuu wa muungano huo Akello […]

Bitcoin Online Casinos: The Future of Gambling

In recent years, the world of online gambling has been changed by the development of cryptocurrencies, with Bitcoin leading the pack. Bitcoin, a decentralized electronic currency, has actually obtained considerable popularity and approval throughout different sectors, consisting of the on the internet casino industry. Bitcoin online casinos provide