MAHAKAMA YAKATAA KUSITISHA UTEUZI WA WASHAURI WA RAIS
Mahakama Kuu imetupilia mbali maombi yaliyokuwa yakitaka kusimamisha uteuzi wa washauri wa rais, ikisema suala hilo tayari liliamuliwa awali. Jaji Bahati Mwamuye amesema wahusika waliorejea mahakamani waliwasilisha hoja zilezile na kuomba afueni sawa na zilizokuwa zimejadiliwa na kuamuliwa. Jaji huyo amebainisha kuwa hoja zilizotolewa wakati wa kusikilizwa kwa maombi hayo zilikuwa marudio tu, akisisitiza kuwa […]
English 


















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































