DUALE AKANUSHA KUPOTEA KWA SH BILIONI 50 ZA SHA
Waziri wa Afya Aden Duale amekanusha madai kwamba shilingi bilioni 50 zilipotea katika Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA), akisema takwimu zilizochapishwa katika moja ya magazeti ya humu nchini zilipotoshwa. Duale amesema taarifa hizo zilitokana na kutoeleweka kwa taratibu za uhasibu wa kisheria pamoja na mchakato wa mpito wa kifedha. Katika taarifa yake, amesema kiasi […]
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































