#Local News

KESI YA GACHAGUA KUNG’ATULIWA YAENDELEA

Mawakili wa kumuakilisha aliyekuwa Naib Rais Rigadhi Gachagua wamewasilisha maombi kadhaa katika vikao vya kusikiza kesi ya kumfurusha afisini vinavyoendelea katika mahaka ya milimani.

Gachagua kupitia mawakili wake amewasilisha vipengee saba anavyotaka viangaliwe kwa ufasaha mahakamani na kusema kuwa kung’atuliwa kwake mamlakani hakukushirikisha umma ipasavyo.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

KESI YA GACHAGUA KUNG’ATULIWA YAENDELEA

JAJI WARSAME AAPISHWA RASMI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *