#Local News

SERIKALI YAFICHUA WAKENYA WALIOUAWA URUSI

Imeripotiwa kuwa wakenya wasiopungua 19 wameuawa katika mapigano yanayoendelea kati ya Urusi na Ukraine, serikali ikisema wakenya 291 wamethibitishwa kuajiriwa kama wanajeshi wa Urusi.

Akiwa mbele ya kamati ya uajiri na Leba katika bunge la seneti, Waziri wa masuala ya kigeni Musalia Mudavadi, amesema wakenya 42 hawajulikani waliko huku wengine 2 wakizuiliwa kama wafungwa wa kivita nchini Ukraine.

Amesema serikali inaendeleza juhudi za kuwarejesha nchini.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

SERIKALI YAFICHUA WAKENYA WALIOUAWA URUSI

SHA YATIKISWA, TENA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *