KAHATA AAMINI ATAISAIDIA KCB KUSAKA UBINGWA

Kiungo mzoefu Francis Kahata amesema bado ana mengi ya kutoa katika soka la kiwango cha juu na ana imani kubwa kuwa ataichangia KCB FC kupigania nafasi nzuri, ikiwemo mbio za ubingwa wa FKF Premier League msimu huu. Kahata, mchezaji wa kimataifa wa Harambee Stars, alijiunga na KCB wakati wa dirisha la usajili wa katikati ya […]

KENYA AQUATICS KUFANYA KAMBI YA MAZOEZI YA JUU APRILI

Shirikisho la kuogelea nchini, Kenya Aquatics, litaandaa kambi ya mazoezi ya kiwango cha juu mwezi Aprili kwa lengo la kuandaa kizazi kijacho cha mabingwa wa kuogelea. Kambi hiyo itawakutanisha zaidi ya waogeleaji vijana 100 wenye vipaji kutoka maeneo mbalimbali ya nchi, wenye umri kati ya miaka tisa hadi 17, wakati wa likizo ya shule.Mkurugenzi wa […]

HARAMBEE STARS KUCHEZA FIFA SERIES RWANDA

Harambee Stars watasafiri kwenda Rwanda kushiriki mashindano ya kwanza ya FIFA Series katika dirisha lijalo la kimataifa linaloanza Jumatatu, Machi 23, kwa mujibu wa uthibitisho wa FIFA. Shirikisho la Soka Kenya (FKF) limethibitisha kuwa Kenya imepangwa Kundi A pamoja na Estonia, Grenada na wenyeji Rwanda. FIFA Series ni mpango wa kimataifa unaolenga kuongeza ushindani na […]

MAFUNZO YA KUKABILIANA NA ULANGUZI WA BINADAMU BUSIA

Wakaazi wa miji ya Busia na Malaba wameshirikiana katika mafunzo ya kukabiliana na changamoto ya ulanguzi wa binadamu wakiwemo watoto. Hili linajiri baada ya kushuhudiwa kwa visa kadhaa, huku  maafisa wa serikali na wale kutoka idara ya watoto kaunti ya busia wakitoa onyo kali kwa wanaojihusisha na visa hivyo kuwa watachukuliwa hatua kali za kisheria. Imetayarishwa na Jones […]

AFUENI KWA WAKAAZI WA KIBWEZI.

Wakaazi wa eneo la ngakaa huko Kibwezi wamepata afueni baada ya ujenzi mpya wa hospitali kukamilika. Zaidi ya watu elfu nane wanatarajiwa kufaidika na hospitali hiyo iliyojengwa kwa ushirikiano wa serikali ya makueni na shirika la world vision. Hospitali hiyo inatarajiwa kupunguza visa vya wanawake vya  kujifungua wakiwa nyumbani. Imetayarishwa na Jones Koikai

Прогнозы на спорт: экспертный обзор

Прогнозы на спорт – это одно из самых популярных направлений в онлайн ставках.Ставки на спорт позволяют увлечься игрой, следить за матчами и получать дополнительный доход.Но для успешных ставок важно иметь информацию, аналитику kyrgyzstan-bettingoffersfinder.com/ru-kg/betting-sites/1win

WAFANYAKAZI WA MAJI MACHAKOS WATISHIA MGOMO

Gavana wa kaunti ya Machakos Wavinya Ndeti amepewa makataa ya saa 24 kuwarejesha kazini maafisa wakuu watendaji 6 wa kampuni za maji kwenye kaunti hiyo kwa misingi ya utendakazi mbaya la sivyo wafanyakazi wote wa maji wagome. Katika kikao na wanahabari kwenye makao makuu ya muungano wa wafanyakazi wa maji nchini, WASU, jijini Nairobi, viongozi […]

VIONGOZI TRANS NZOIA WAHIMIZWA KUSHIRIKIANA

Baadhi ya wawakilishi wadi katika kaunti ya Trans Nzoia wamewahimiza viongozi kwenye kaunti hiyo kutoingiza siasa katika masuala ya maendeleo, wakisema mwelekeo huo utasababisha wakazi kusalia nyuma kimaendeleo. Wakiongozwa na mwenzao wa Hospital Eric Wafula, wawakilishi wadi hao wamehimiza ushirikiano wa viongozi wa kaunti hiyo na serikali kuu kama kigezo cha maendeleo. Wito huo unajiri […]

USIKU MUHIMU KWA KLABU ZA UEFA

Mechi ya 7 kati ya 8 ya awamu ya kwanza ya ligi ya klabu bingwa barani Ulaya, UEFA, zitachezwa usiku wa leo ambapo timu kadhaa ikiwemo Liverpool, Real Madrid na Inter Milan zitalenga kupata ushindi ili kujihakikishia kufuzu moja kwa moja katika awamu ya 16 bora kutokana na kudidimia kwa matumaini ya kupata mataji ya […]

CITY WANAYE GUEHI

Hatimaye Manchester City imemsajili beki wa kati Marc Guehi kwa kima cha pauni milioni 20 kutoka Crystal Palace kwa mktaba wa miaka 5 unusu katika juhudi za kuimarisha safu yao ya ulinzi. City waliimarisha juhudi za kumsaka beki huyo Mwingereza kutokana na masaibu ya majeraha kwa mabeki wao wa kati tegemeo Ruben Diaz, John Stones […]