#Local News

RAIS RUTO AELEZA UMUHIMU WA CBE NCHINI

Rais William Ruto ameelezea kujitolea kwa serikali katika kuimarisha miundimisingi kwenye taasisi ya elimu ili kupiga jeki shughli  za masomo.

Akizungumza wakati wa kongamano la Africa Forward summit  Ruto ameeleza kuwa mfumo wa sasa wa masomo CBE unalenga kuhakikisha wanafunzi wanapata ujuzi wa kutoshawanapotafuta ajira.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *