#Local News

IEBC YACHACHISHA MAANDALIZI YA CHAGUZI NDOGO

Maandalizi ya chaguzi ndogo katika eneo bunge la Emurua Dikiir na uwakilishi wadi katika wadi mbili za kaunti ya Elgeyo Marakwet na Samburu yameshika kasi huku zikisalia siku mbili kabla ya chaguzi hizo kuandaliwa.

Tayari tume huru ya uhaguzi na mipaka, IEBC, imepokea masanduku yenye karatasi za kupigia kura, kabla ya chaguzi hizo za Alhamisi hii.

Vifaa hivyo vitaanza kusambazwa hii leo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *