#Local News

AFRICA FORWARD SUMMIT KUKAMILIKA LEO

Kongamano la Africa Forward Summit lililoandaliwa kwa pamoja kati ya Kenya na Ufaransa linakamilika hii leo baada ya kuanza rasmi hapo jana jijini Nairobi.

Kwenye majadiliano katika kongamano hilo la siku mbili, Rais William Ruto na mwenzake wa Ufaransa Emmanuel Macron, wameeleza haja ya bara Ulaya kuwekeza katika bara la Afrika, ambalo wamelitaja kama linalokua kwa kasi.

Wamelitaka bara hilo kutoa kipaumbele kwa uwekezaji wa vijana, teknolojia, miundomsingi na elimu.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *