SERIKALI KUWASAIDIA WAATHIRIWA WA MGODI
Familia za walioathirika kutokana na kuporomoka kwa mgodi wa dhahabu katika kaunti ya West Pokot Ijumaa iliyopita, zitapokea msaada wa kifedha kutoka kwa serikali kugharamia matibabu na mazishi kwa watu 15 walioangamia.
Haya ni kulingana na Waziri wa usalama wa kitaifa Kipchumba Murkomen, akizungumza baada ya kuzitembelea familia hizo katika eneo la Romus, akionyesha masikitiko kutokana na idadi ya juu ya wanawake waliofariki kwenye mgodi huo.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































