AYUB SAVULA AMSUTA GACHAGUA
Naibu Gavana wa kaunti ya kakamega Ayub Savula amemuonya kiongozi wa chama cha DCP Rigadhi Gachagua dhidi ya kumshambulia katibu mkuu wa COTU Francis Atwoli.
Savula anasema kuwa matamshi ya Rigadhi dhidi ya Atwoli yanamkosea heshima kiongozi huyo ambaye anashikilia nafasi ya viongozi maarufu katoka jamii ya mulembe.
Imetayarishwa na Hilda Ajema
English 

























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































