JUNET: UPINZANI UNAWEZA KUMUUNGA MKONO RUTO 2027
Mbunge wa Suna East, Junet Mohamed, ameashiria mabadiliko ya kisiasa yanayoweza kutokea akisema upinzani unaweza kumuunga mkono Rais William Ruto katika Uchaguzi Mkuu wa 2027 iwapo mazungumzo yanayoendelea yatazaa matunda chanya. Akizungumza katika mahojiano na kituo kimoja cha runinga humu nchini, Junet alieleza kuwa siasa hazitabiriki na akasisitiza kuwa hakuna chaguo lililoondolewa mezani. Mbunge huyo alikuwa […]
English 

















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































