#Local News

ODM YATANGAZA NAFASI ZA KUSAJILI WANACHAMA WA SIASA

Chama cha ODM kimefungua rasmi maombi ya uteuzi kwa wanasiasa wanaotaka kuwania nafasi mbalimbali katika uchaguzi  mkuu wa mwaka wa 2027 kupitia tiketi ya chama hicho.

ODM  imewaalika  wanachama kutoka kote nchini kuwasilisha maombi yao kabla ya tarehe 30 Juni mwaka huu.

Nafasi zilizotangazwa ni pamoja na Urais, ugavana, useneta, ubunge,  uwakilishi wa wanawake pamoja na uwakilishi wadi kupitia njia ya mtamdao.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *