#Local News

OPARANYA APONGEZA WAKENYA KWA KULIPA HUSTLER FUND    

Waziri wa vyama vya ushirika Wycliffe Oparanya anasema kiwango cha ulipaji wa mkopo wa hustler fund kimeimarika pakubwa na kufikia asilimia tisini.

Akijibu maswali ya maseneta katika bunge la seneti hii leo, Oparanya amekiri kwamba kiwango cha kutolipa mkopo huo kilikuwa juu pindi ulipozinduliwa japo anakariri kwamba kila mkenya aliyekopa pesa hizo ataandamwa ili alipe.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *