#Local News

BEI MPYA YA MAFUTA KUTANGAZWA LEO

Wakenya wakisubiri bei mpya ya mafuta kutangazwa hii leo,serikali imetoa shilingi bilioni sita kwa wauzaji wa mafuta  kufidia udhibiti wa bei za  bidhaa hizo  za mwezi uliopita kabla ya kutangazwa kwa makadirio ya bei za  mafuta leo hii .

Kulingana na wauzaji bei ya petroli huenda ikapanda iwapo gharama zilizobebwa na waagizaji wa mafuta zitazingatiwa  iwapo serikali haitaingilia kati kutoa ruzuku nyingine ya kuwakinga watumiaji dhidi ya ongezeko hilo.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *