#Local News

KESI YA GACHAGUA KUENDELEA MEI 22

Kesi ya kushinikiza fidia kwa aliyekuwa naibu Rais Rigathi Gachagua itaendelea Ijumaa wiki ijayo huku naibu Rais Kithure Kindiki akiiomba mahakama kutupilia mbali kesi hiyo ambapo Gachagua anataka kupewa malipo ya muhula mzima ambayo angepokea iwapo hangetimuliwa kutoka afisini.

Kupitia kwa wakili wake, Kindiki amesema kulipwa fidia kwa mtangulizi wake kutahujumu uamuzi wa seneti kumwondoa mamlakani.

Hata hivyo, mawakili wa Gachagua wamesisitiza kuwa mchakato wa kumtimua mteja wao ulikiuka sheria.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KESI YA GACHAGUA KUENDELEA MEI 22

KIVUMBI CHA FKF CUP

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *