#Local News

DCP YAPANDA KWA UMAARUFU, UDA NA ODM KWENYE MTEREMKO

Uungwaji mkono wa Chama cha DCP chake aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua umeongezeka kutoka asilimia 6 mwezi Novemba mwaka jana hadi asilimia 16 mwezi Mei mwaka huu.

Hii ni kulingana na utafiti wa kampuni ya TIFA ikionyesha jinsi ambavyo chama hicho kimekuwa kwa kasi zaidi.

Utafiti huo pia unaonyesha kupungua kwa umaarufu wa vyama vya UDA na ODM, huku uungwaji mkono wa ODM ukishuka kutoka asilimia 32 hadi 18 na UDA kutoka asilimia 38 hadi 17.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *