#Local News

RUTO ANA REKODI ZA KILA MBUNGE, GACHAGUA ADAI.

Kuweni tayari kubeba msalaba wa hongo mliyopokea ili kupitisha hoja ya kunibandua kutoka afisini.

Ndiyo kauli ya aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua, akizungumza kwenye mahojiano na kituo kimoja cha runinga nchini ambako ameibua madai kwamba wabunge na maseneta walihongwa na serikali tendaji ili kupitisha hoja ya kumfurusha afisini.

Gachagua amedai kuwa Rais William Ruto atatumia fursa hiyo kuwashika mateka kisiasa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa.

RUTO ANA REKODI ZA KILA MBUNGE, GACHAGUA ADAI.

UHC NJIA PANDA KUHUSU UHAMISHO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *