#Football #Sports

AUSTIN ODHIAMBO AAMINI HARAMBEE STARS WAKO TAYARI

Kiungo Austin Odhiambo amesema Harambee Stars iko tayari kukabiliana na mataifa makubwa barani Afrika katika kufuzu kwa AFCON 2027.

Kenya imepangwa kundi moja na Afrika Kusini Guinea pamoja na Eritrea katika kundi linalotajwa kuwa gumu.

Licha ya Kenya kufuzu moja kwa moja kama mwenyeji pamoja na Uganda na Tanzania, timu hiyo itashiriki mechi za kufuzu ili kujiweka tayari kwa michuano hiyo.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *