#Local News

GACHAGUA AILAUMU SERIKALI KUCHOCHEA GHASIA NCHINI

Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua ameisuta serikali kwa kuchochea hasira za wananchi kupitia namna inavyoshughulikia uchumi, sera za sekta ya usafiri na madai ya ukiukaji wa haki za binadamu.

Akizungumza akiwa nchini Uingereeza Gachagua alijibu kauli za Katibu Mkuu wa UDA Hassan Omar, aliyekuwa amehoji sababu za hasira za wananchi dhidi ya Rais William Ruto.

Gachagua amesema viongozi wa serikali wenyewe wanachangia kuongeza mivutano ya kisiasa nchini.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *