SERIKALI YAJITETEA KUWAKINGA WAKENYA NA MAKALI YA BEI ZA MAFUTA
Ruto anasema kutokana na kuendelea kuongeza kwa bei za mafuta duniani serikali yake imetumia takribani shilingi bilioni kumi na tatu za hazina ya maendeleo ya mafuta kuwakinga wakenya na gharama hizo huku akiongeza kwamba serikali yake imepunguza kodi ya thamani ya ziada kutoka asilimia kumi na sita hadi asilimia nane akisema katika mwezi wa Aprili na May pekee serikali ilitumia shilingi bilioni nyingine 15 nukta mbili katika juhudi za kuwakinga vilevile.
Imetayarishwa na Hilda Ajema
English 



































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































