#Local News

KAMATI YA BUNGE YACHUNGUZA UHABA WA MAFUTA

Kamati ya Bunge la Taifa kuhusu Kawi na Petroli imezuru maghala ya mafuta ya Kenya Pipeline katika jiji la Nairobi kuchunguza kiini cha uhaba wa mafuta unaoshuhudiwa katika maeneo mbalimbali nchini.

Ziara hiyo inalenga kubaini changamoto katika usambazaji na uhifadhi wa mafuta pamoja na hatua zilizochukuliwa kushughulikia hali hiyo.

Kamati hiyo imeahidi kuwasilisha ripoti yao baada ya uchunguzi ili kusaidia kupata suluhu ya kudumu kwa tatizo la upatikanaji wa mafuta nchini.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

KAMATI YA BUNGE YACHUNGUZA UHABA WA MAFUTA

EACC YAJITETEA DHIDI YA UFISADI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *