#Local News

TUACHE KUPINGA MSWADA 2024-2025

Mwenyekiti wa kamati ya fedha katika bunge la kitaifa Kimani Kuria ambaye pia ni mbunge wa Molo amewasuta wanaopinga mswada wa fedha wa mwaka wa 2024-2025 akisema kuwa kupitia mswada huo serikali itaongeza mapato ya taifaMbunge  wa kimilili Didmus Barasa kwa upande amesisitiza kauli ya Kuria akisema kuwa serikali ya kenya kwanza haijambagua mkenya yeyote hivyo mswada huo haufai kupingwa.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *