KITAELEWEKA BUNGENI LEO
Bunge la Kitaifa leo linatarajiwa kupiga kura kuunga au kupinga mswada wa fedha wa mwaka 2024 ambapo wabunge watapiga kura kipengele moja baada ya kingine Pande za Kenya Kwanza na Azimio zinajiandaa kutetea marekebisho mbalimbali ambayo yamependekeza kwenye Mswada huo huku mrengo wa Azimio wakihapa kuangusha mswada mzima.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 








































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































