MAWAZIRI WA KILIFI WATAKIWA KUKAMILISHA MIRADI ILIYOKWAMA
Mwakilishi wa wadi ya Adu eneoi bunge la magarini kaunti ya Kilifi Samson Zia amewalaimu mawaziri wa kaunti hiyo kwa kukosa kutekeleza miradi ya serikali iliyopita katika maendeo mbali mbali ya kaunti ya Kilifi.
Kwa mujibu wa Zia miradi nyingi ya maendeleo mashinani imekwama kwa muda mrefu sasa tangu serikali ya aliyekuwa gavana wa kaunti hiyo Amason Jefa Kingi kuondoka mamlakani huku akiwahimiza mawaziri na viongozi wenzake kuhakikisha miradi iliyokwama inatekelezwa.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 









































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































