#Local News

DCI WAPATA MWILI WA MWANAFUNZI ALIYETOWEKA KISUMU

Makachero wa idara ya upelelezi, DCI wamemkamata mshukiwa mkuu wa mauaji ya mwanafunzi wa kike mwenye umri wa miaka 21 wa chuo kimoja jijini Kisumu.

Makachero hao wanaamini kuwa Coleman Okoth ndiye aliyepanga ubakaji wa zamu, kuteswa na kisha kutoweka kwa mpenzi wake huyo wa zamani ambaye mwili wake uliokuwa umeharibi8ka umetikana katika msitu wa RIAT kaunti ya Kisumu.

Kulingana na DCI, walianzisha uchunguzi punde baada ya mwathiriwa kuripotiwa kutoweka, wakiamini aliuawa usiku wa tarehe 5 mwezi huu.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MGOMO: MATIBABU YALEMAZWA KNH

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *