RAIS MUSTAAFU UHURU AONGOZA HAFLA YA CHAMA CHA JUBILLEE
Rais mustaafu Uhuru Kenyatta anaongoza mkutano wa wajumbe wa chama cha Jubilee katika kaunti ya Kiambu.
Akizungumza kwenye hafla hiyo Uhuru amewashtumu wandani wa Rais William Ruto wanaomtaka astaafu katika ulingo wa siasa.
Kulingana na Uhuru tangu alipostaafu uongozini mwaka wa 2022 chama chake kimekua kikikabiliwa na misukosuko akiapa kukiimarisha chama hicho.
Imetayarishwa na Hilda Ajema
English 































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































