#Local News

WAANDAMANAJI WACHOMA MAGARI MOMBASA

Kundi moja la waandamanaji jijini Mombasa limeteketeza takribani magari matano wakati wa maandamano huku wakiimba nyimbo za kumtaka rais William Ruto aondoke mamlakani.

Hata hivyo, kikosi cha wazima moto kimewasili na kuanzisha juhudi za kuzima moto huo, huku kiini cha kuteketeza magari hayo ikiwa bado hakijulikani..

Maandamano yameendelea katika maeneo kadhaa ya Mombasa, ikiwemo Mwembe Tayari na kituo kikuu cha magari ya uchukuzi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAANDAMANAJI WACHOMA MAGARI MOMBASA

RAIA AWAJERUHI WATATU KWA RISASI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *