#Local News

MASHIRIKA YA KIJAMII YALITAKA BUNGE LA KITAIFA KUPITISHA MSWADA WA MGAO WA FEDHA KWA KAUNTI

Muungano wa mashirika ya kijamii eneo la pwani umeitaka bunge la Kitaifa na lile la seneti kuharakisha mchakato wa kupitisha mswada wa mgao wa fgedha klwa kaunti 2024.

Mwenyekiti wa muungano huo Zedekiah Adika amesema kuwa kucheleweshwa kupitishwa kwa muswada huo kum etatiza kuendelezwsa kwa shughuli mbali mbali za ugatuzi.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *