CITY THUNDER WAJIANDAA KWA MCHUANO MKALI
Licha ya kushindwa na mabingwa watetezi Nairobi City Thunder wikendi iliyopita, kocha mkuu wa Strathmore Blades Tony Ochieng amewapongeza wachezaji wake kwa uchezaji wao wa kuigwa.
Ochieng anaamini vijana wake walijituma zaidi licha ya kupoteza 48-88 kwa mabingwa wa kitaifa katika mechi ya ligi kuu ya wanaume ya Mpira wa Kikapu nchini.
Imetayarishwa na Nelson Andati
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































