#Local News

LUSAKA AONYA WAFANYAKAZI HEWA KAUNTI YA  BUNGOMA

Gavana wa Bungoma Ken Lusaka ameagiza bodi ya uwajiri katika kaunti hiyo kuangazia kwa kina swala la wafanyakazi hewa kuripotiwa katika utumishi wake akisema kuna wafanyakazi zaidi ya 1000 ambao hawakuidhinishwa kisheria.

Lusaka ameagiza uchunguzi kufanywa kuhusu jinsi wafanyakazi hao walivyoajiriwa akisema bodi hiyo inafaa kukaguliwa upya.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *