#Local News

MUSALIA AONYA WAKENYA KUHUSU EBOLA

Waziri mkuu Musalia Mudavadi amewataka wakenya kufuata maagizo yanayotolewa na wizara ya Afya kufuatia mulipuko wa ugonjwa wa Ebola ulioripotiwa katika mataifa jirani ya Uganda na Demokrasia ya Congo DRC.

Akizungumza katika kaunti ya Morang’a Mudavadi amesema japo kenya haijaripoti kisa chochote cha Ebola uzembe unaweza kuhatarisha taifa hivyo wananch wanapaswa  kujitahadhari katika muingiliano wa kijamii kwa kuzingatia usafi.

Imetayarishw na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *