#Local News

OBURU AHUDHURIA MKUTANO WA VIJANA WA ODM

Mkutano wa vijana wa chama cha ODM unaendelea hapa jijini Nairobi huku ukihudhuriwa na viongozi wa chama wakiongozwa na Kiongozi wa chama Oburu Oginga.

Viongozi wa vijana wamesema kuwa watetea maslahi ya chama huku wakitaka heshima kwa kiongozi wa chama hicho.

Aidha wamesema kuwa wanamuunga mkono Oburu na watafuata mwelekeo wake ifikapo mwaka 2027.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *