LIPA UHURU PESA ZAKE; MAKUENI SENETA AMWAMBIA RUTO
Seneta wa makueni Dan Maanzo ameelekeza kidole cha lawama kwa serikali nkwa kukosa kufadhili shughuli za ofisi yar ais mstaafu Uhuru Kenyatta akisema kuwa hatua hiyo ni kumkosea heshima.
Maanzo aidha ameongeza kuwa rais William Ruto anafanya hivyo kulipiza kisasi kufuatia msimamo wa uhuru wa kisisasa katika uchaguzi uliopita.
Seneta wa Muranga Joe Nyutu kwa upande wake amesema kuwa pana haja ya serikali kufanya mazungumzo na ofisi ya Kenyatta kabla ya kuchukua hatua zinazolemaza shughuli zake.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 

































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































