DCP YAMTAKA WAZIRI WA ELIMU KUJIUZULU
Chama cha DCP kinataka uchunguzi wa kina kufanyika kutokana kuhusiana na chanzo cha moto katika shule ya Upili ya wasichana ya Utumishi.
Akizungumza katika makao makuu ya chama hicho Katibu mkuu John Metho ametaka wizara ya usalama kutoa taarifa ya kina kuhusiana na waraka wa serikali kukabiliana na majanga.
Imetayarishwa na Hilda Ajema
English 











































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































